Waziri azindua kampeni ya matumizi ya vyoo
Dodoma. Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu leo amezindua kampeni mpya ya kitaifa ya usafi wa mazingira na matumizi ya vyoo mjini Dodoma iliyobatizwa “Nipo Tayari”
Kampeni hiyo imekuja baada ya ile ya kwanza iliyoanza mwaka 2012 hadi Juni 2016 ambayo amesema ilifanikisha kuongeza uelewa katika masuala ya usafi wa mazingira.
Amesema lengo la kampeni hiyo ni kuhakikisha mazingira yanakuwa safi na kunakuwa na matumizi ya vyoo bora kuanzia ngazi ya kaya, taasisi na maeneo ya umma.
#NIPO TAYARI WEWE JE?, CHUKUA HATUA SASA.
#NIPO TAYARI WEWE JE?, CHUKUA HATUA SASA.
Comments
Post a Comment